- 425 views
Unapohitaji huduma za kubebewa mizigo katika soko la wakulima hapa Nairobi, jina la Leah wanjiru halitakosekana. Ni kazi ambayo haikuwa vigumu Kwake kuizamia kwani tangu utotoni amekuwa katika soko hilo ambako Mamake Mzazi anafanyia biashara. Na kama kazi nyingine,Changamoto za hapa na pale hazikosekani lakini wanjiru anajikakamua ili kukidhi mahitaji yake na ya wanawe huku akitumai kwamba siku moja atapata Ajira nyingine ambayo haina Changamoto nyingi. Leah Wanjiru anatupambia makala ya mwanamke bomba hii leo.
Mwanamke Bomba
- - Madeni ya Taifa ››
- - Maoni Kuhusu NG-CDF ››
- 28 Apr 2025 - Namibia's president has dismissed agriculture minister Mac Hengari, her office announced Sunday, as reports emerged that he is under investigation for alleged rape.
- 28 Apr 2025 - US President Donald Trump said Sunday he wanted Russia's Vladimir Putin to "stop shooting" in Ukraine and sign a peace deal, one day after the US leader met Ukraine's president at the Vatican.
- 28 Apr 2025 - This comes in the wake of government's crackdown on the activities.
- 28 Apr 2025 - The final polls suggest the Liberals are slightly ahead, although the race has tightened in the past week.
- 28 Apr 2025 - Fibroids explained: What every woman should know about the condition
- 28 Apr 2025 - It comes after Uhuru urged the youths to stand for their rights and advocate for good governance.
- 28 Apr 2025 - Tens of Kenyan youth perished in the protests.
- 28 Apr 2025 - Universities have been urged to take the lead in driving national transformation through education by championing climate action initiatives.
- 28 Apr 2025 - Key events and activities happening today
- 28 Apr 2025 - Wheels of justice; court stories lined up for today