Skip to main content
Skip to main content

Nani aliyemuuwa wakili Mbobu Kyalo?

  • | KBC Video
    707 views
    Duration: 2:56
    MAUAJI YA WAKILI MBOBU Familia ya wakili Kyalo Mbobu aliyeuawa kwa kupigwa risasi jana inawataka maafisa wa polisi wachukue hatua za haraka kumkamata aliyehusika na shambulizi hilo jijini Nairobi. Akiongea katika sehemu ya Salama, kaunti ndogo ya Kilome kaunti ya Makueni, mamaye marehemu wakili huyo, Anne Mbelete, anasema familia yake ina majonzi tele kufuatia mauaji ya mpendwa wao. Idara ya upelelezi jijini Nairobi inakusanya ushahidi kuhusiana na mauaji hayo. Joseph Wakhungu ana maelezo zaidi. Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKNc Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/ #kbcchannel1 #news #kbclive