"Ninaweza kukufanya milionea."
Mawakala wa ajira wanaowalaghai raia wa kigeni wanaoomba kazi katika sekta ya afya ya Uingereza wamefichuliwa kupitia uchunguzi wa siri wa BBC.
BBCAfricaEye imefuatilia kwa siri mawakala wadanganyifu wa masuala ya uhamiaji wanaochukua maelfu ya pauni kutoka kwa wahamiaji wanaotamani kupata kazi Uingereza.
Na kubaini mbinu za mawakala hawa, ikiwa ni pamoja na kuuza nafasi za kazi katika makampuni ya afya ya Uingereza kinyume cha sheria.
Wizara ya Mambo ya ndani ya Uingereza imekiri kuwa mfumo huu unakabiliwa na udanganyifu, lakini uchunguzi wetu umeonyesha jinsi mawakala hawa wanavyoweza kuwalaghai watu kwa urahisi, kuepuka kugundulika na kuendelea kunufaika kifedha.
Tazama video hii kwa urefu hapa hapa Youtube ya bbcswahili
#bbcswahili #uingereza #uhamiaji
Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw
2 Apr 2025
- This follows opposition threats to sue, accusing Ruto and Raila of influencing the process without their input.
2 Apr 2025
- The new opportunities are set to enable teachers to advance in their careers.
2 Apr 2025
- The aide was a mainstay in Raila's life, often seen accompanying him to his events.
2 Apr 2025
- Former Prime Minister Raila Odinga's long-serving bodyguard and personal aide George Odiwuor has passed on at the Nairobi West Hospital.
2 Apr 2025
- Three suspects have been arrested and a large consignment of suspected cannabis sativa nabbed following a crackdown by the National Authority for the Campaign Against Alcohol and Drug Abuse (NACADA) in Mwamogeza Village, Kisii County.
2 Apr 2025
- The National Assembly has approved a two-week extension for the Selection Committee tasked with appointing new IEBC Commissioners.
2 Apr 2025
- The government has reaffirmed its commitment to unlocking stalled stadium projects to enhance talent identification and development from grassroots to the international stage.
2 Apr 2025
- The government has announced plans to appeal the High Court ruling that declared unconstitutional, a directive requiring parents to pay school fees through the eCitizen platform.
2 Apr 2025
- Three suspects linked to the death of Lucy Wambui Ng’ang’a will spend the night behind bars after denying manslaughter charges at the Kibera Law Courts on Wednesday. The accused, surgeon Robert Maweu Mutula and proprietors George Wakaria Njoroge and…
2 Apr 2025
- This follows opposition threats to sue, accusing Ruto and Raila of influencing the process without their input.
2 Apr 2025
- Nacada CEO Anthony Omerikwa said the prime suspect managed to evade arrest.
2 Apr 2025
- The new opportunities are set to enable teachers to advance in their careers.
2 Apr 2025
- KUPPET has strongly opposed the government’s proposal to make Mathematics an optional subject at the senior school level, arguing that such a move would undermine the nation’s workforce development and educational standards.