Mary Amankwah Fordwor, kutoka nchini Ghana, aligundulika kuwa na saratani ya koo mwaka 2021, ambapo alifanyiwa upasuaji mara 14 na kusababisha kuondolewa kwa koromeo.
Sasa anatumia kifaa bandia cha sauti na hawezi kula tena kama ilivyokuwa hapo awali.
Je saratani hii husababishwa na nini? Mary amesimulia kwa kina pamoja na changamoto alizopitia ikiwemo kuvunjika kwa ndoa yake. Tazama!
#bbcswahili #ghana #saratani
Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw
12 Mar 2025
- The rock went largely unnoticed for 20 years until the school, in Queensland's rural Banana shire, asked paleontologist Anthony Romilio to examine a cluster of three-toed track marks.
12 Mar 2025
- The first round notably eliminates the Office of the Chief Scientist, led by Katherine Calvin, a renowned climatologist who contributed to key UN climate reports. She and other US delegates were also barred from attending a major climate science meeting…
12 Mar 2025
- Spain's government approved a bill on Tuesday imposing massive fines on companies that use content generated by artificial intelligence (AI) without properly labelling it as such, in a bid to curb the use of so-called "deepfakes".
12 Mar 2025
- Former Philippine President Rodrigo Duterte was arrested and taken into custody on Tuesday in Manila on an International Criminal Court warrant for the "war on drugs" that defined his term in office and which killed thousands of Filipinos.