- 48 views
Umma umetahadharishwa dhidi ya kununua rangi ambazo hazijafikia viwango vilivyowekwa na serikali na ambazo zinaweza kuwasababishia madhara ya sumu ya risasi au lead. Akizungumza jijini Nairobi wakati wa maadhimisho ya wiki ya kuzuia madhara ya sumu ya risasi, katibu katika idara ya afya ya umma Mary Muthoni alisema kituo cha kushughulikia haki kwa mazingira na maendeleo, CEJAD, alisema kwamba rangi zilizotengenezewa humu nchini katika miaka ya 2013, 2019 na 2021, zilikuwa na kiwango kikubwa cha risasi. Muthoni aliongeza kuwa athari zinazotokana na sumu ya risasi ni kama vile matatizo ya kiakili kwa watoto na utasa au mimba kuharibika miongoni mwa wanawake wajawazito. Alitoa wito kwa uchunguzi wa mapema ili kubaini viwango vya sumu ya risasi katika damu.
Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKN Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#kbcchannel1 #news #kbclive
Wakenya waonywa kuhusu rangi iliyo na madini ya risasi
- 24 Oct 2024 - The Judiciary has announced a system intermittent outage that has affected critical operations such as efiling, case tracking and causelist systems.
- 24 Oct 2024 - President William Ruto on Thursday said that Kenya will immensely benefit from the power transmission deal between Adani Group Holdings and Kenya.
- 24 Oct 2024 - The Anti-doping Agency of Kenya (ADAK) is facing a financial crisis due to huge budget cuts from the National Treasury.
- 24 Oct 2024 - Kenya Revenue Authority (KRA) Customs Enforcement officers at the Lwakhakha Border Station have intercepted a truck carrying 7,500 litres of suspected uncustomed ethanol, as part of the ongoing crackdown on illicit trade.
- 24 Oct 2024 - President William Ruto on Thursday met Jamie Dimon, chairman and CEO of JPMorgan Chase, the largest bank in the United States which recently opened a Kenyan office as part of its Africa expansion.
- 24 Oct 2024 - The Ethics and Anti-Corruption Commission (EACC) has clarified media reports that it misled the public in the case where four senior Taita Taveta County officials are accused of theft of Ksh.7 million public funds under the pretext of commemorating the…
- 24 Oct 2024 - The announcement comes after a recent uproar over delays in processing the critical documents.
- 24 Oct 2024 - The meeting was a continuation of the bilateral agreement inked in 2023.
- 24 Oct 2024 - Public Service and Human Capital Development, Cabinet Secretary Justin Muturi has called on Kenyans to collect their identification documents as thousands remain uncollected across the nation. During his assessment of the Thika Huduma Centre, CS Muturi…
- 24 Oct 2024 - The relationship between the multi-agency security team and locals has been frosty.