- 41 viewsMajeshi ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo yanasema kuwa yamezima jaribio la mapinduzi mapema Jumapili na kuwakamata wahalifu, wakiwemo raia wa kigeni kadhaa. Hii ilifuatia mashambulizi yaliyofanywa katika kasri ya rais na makazi ya mshirika wa karibu wa Rais Felix Tshisekedi ambapo watu watatu waliuawa katika mji mkuu, Kinshasa. Sita kati ya hao waliouawa ni pamoja na washambuliaji watatu na kiongozi wao, kiongozi wa upinzani aliyekuwa anaishi ughaibuni Christian Malanga, msemaji wa jeshi la Congo Brigedia Jenerali Sylvain Ekenge aliwaambia waandishi wa habari Jumapili usiku, akiongeza kuwa wahalifu takriban 50 walikamatwa. Video hiyo inaonyesha watu kadhaa wa Congo ambao hakutambulishwa, wanaoshukiwa kuhusika katika kile jeshi la ulinzi ilichosema kilikuwa ni mapinduzi yaliyofeli, wakiwa wamezingirwa na wanajeshi wa Congo. Wamarekani wawili, wanaoshukiwa kuhusika katika kile jeshi ilichosema ni mapinduzi yaliyofeli, wakiwa chini wamezungukwa na wanajeshi wa Congo (mtoto raia wa Marekani wa Christian Malanga katika picha ya chini, iliyozungushiwa duara jekundu). #mapinduzi #drc #jeshi #wanamgambo #felixtshisekedi #voa #voaswahili #christianmalanga #jenerali #sylvainekenge #congo #rais #felixtshisekedi
Wamarekani 2 washukiwa wa jaribio la mapinduzi wakamatwa DRC
- - Citizen TV Live ››
- - NTV LIVE: March 2025 ››
- - Duniani Leo ››
- 12 Mar 2025 - Spain's government approved a bill on Tuesday imposing massive fines on companies that use content generated by artificial intelligence (AI) without properly labelling it as such, in a bid to curb the use of so-called "deepfakes".
- 12 Mar 2025 - Former Philippine President Rodrigo Duterte was arrested and taken into custody on Tuesday in Manila on an International Criminal Court warrant for the "war on drugs" that defined his term in office and which killed thousands of Filipinos.
- 12 Mar 2025 - Back to sunroof campaigns or development tours?
- 12 Mar 2025 - Nyakango decries funding cut as State plans to clear pending bills
- » Ruto, Raila allies censure 'fence sitter' Ndindi Nyoro over "corruption" ahead of committee's elections12 Mar 2025 - Ruto, Raila allies censure 'fence sitter' Ndindi Nyoro over "corruption" ahead of committee's elections
- 12 Mar 2025 - Pay cut for defunct NHIF staff transitioning to new system
- 12 Mar 2025 - Governors missing as Kenyans struggle with SHA
- 12 Mar 2025 - Nairobi set to host Arabika Coffee Day as country bids to boost sector
- 12 Mar 2025 - Hope as secuirty operation tames nagging banditry, two years later
- 12 Mar 2025 - Digital security is critical for consumer trust and brand integrity