- 44 views
Rais William Ruto sasa anasema yuko tayari kuwabadilisha polisi wa Kenya wanaoendesha shughuli zao za kulinda doria Haiti hadi kuwa maafisa kudumu wa umoja wa mataifa wa kulinda amani. Rais Ruto ambaye anazuru haiti kabla ya hotuba yake ya mkutano mkuu wa umoja wa mataifa ametoa ahadi ya kuongeza maafisa 600 zaidi wa polisi kupiga jeki kikosi cha maafisa 400 walitangulia na kufikisah idadi kuwa 1000 kama ilivyoratibiwa. Rais Ruto amepongeza utendakazi wa kikosi cha kenya licha ya ghasia ambazo bado inaendelea katika taifa la haiti huku hofu kwamba magenge yanalenga maeneo mapya, na kusababisha kuhama kwa watu kuibuka.
Rais Ruto asema atawabadilisha polisi wanaolinda Haiti kuwa maafisa wa kudumu wa umoja wa mataifa
- - Duniani Leo ››
- 23 Sep 2024 - Contempt may be dealt with by either a fine or imprisonment or both.
- 23 Sep 2024 - High tech would usher in super efficiency in the trading process by potentially cutting the cash turnaround.
- 23 Sep 2024 - While electing judges might seem like a democratic solution, in reality, it is risky and has the certainty to erode judicial independence.
- 23 Sep 2024 - When women have access to contraceptives, they are better able to support their families and contribute to economic growth.
- 23 Sep 2024 - Report: How Kenya's weak labour market hurts economy
- 23 Sep 2024 - Ban senators from representing governors in court, activist says
- 23 Sep 2024 - Health experts warning: Think twice before eating bushmeat
- 23 Sep 2024 - Ex-staff vow to take legal action after Nandi County sacked 1,800
- 23 Sep 2024 - Adani deal: Treasury CS Mbadi to appear before Senate
- 23 Sep 2024 - This ruling had declared Augustus Kyalo Muli as the legitimate representative of small parties on the IEBC selection panel.