- 618 views
Idadi ya watu waliofariki kutokana na mafuriko kufikia leo ni 198. Idadi hii inajumuisha watu 71 waliofariki katika eneo la Mai mahiu Hapo jana. Maiti nne zaidi ziliopolewa katika aneo la Madogo kaunti ya Tana River. watu wanne wakiaga dunia katika eneo la Sindo huku wengine wakiaga dunia Homa Bay. Kufikia sasa watu 102 wamejeruhiwa katika maeneo tofauti nchini. Watu 91 hawajulikani waliko, wengi wao wakiwa katika eneo hilo la Mai Mahiu. Nyumba zilizosombwa ni 30,099 Huku Watu walioathirika kutokana na janga hili wakiwa 190,942. Kituo cha kutoa maelezo kimewekwa katika eneo la Mai Mahiu. Maafisa wa serikali kuu, ile ya kaunti ya Nakuru na Shirika la Msalaba Mwekundu wanasimamia kituo hicho.
Idadi ya waliofariki kufikia leo ni 198
- 17 May 2024 - The Thirdway Alliance Kenya led by Dr Ekuru Aukot has filed a new lawsuit seeking to prevent the government from sending police to violence-plagued Haiti as part of a UN-backed mission.
- 17 May 2024 - A section of leaders drawn from the Mt Kenya region have announced the formation of the HAKI coalition which they say will push for the region's interests and unity under the guidance of former President Uhuru Kenyatta insisting that he remains the…
- 17 May 2024 - The government has announced plans to establish of birth and death registration offices in every constituency to enhance Civil Registration services and make critical documents more accessible.
- 17 May 2024 - Murang’a County residents led by Member of Parliament Edwin Mugo have concluded the 2024/2025 budget hearings, making a strong case for increased budgetary allocations in crucial sectors.
- 17 May 2024 - Mombasa High Court has ordered the prosecution to review and amend the 191 murder charges levelled against the 30 accused persons in the Shakahola massacre case.
- 17 May 2024 - An Algerian man who went missing in 1998 during the country’s civil war has been found alive in his neighbour’s cellar 26 years later, according to authorities.
- 17 May 2024 - Angelina Kalunda went to the hospital heavily pregnant with triplets only for her and the husband to return home with one child after two of her children mysteriously went missing in the facility.
- 17 May 2024 - The law requires payment of the anti-adulteration levy on all illuminating kerosene imported into the country for home use.
- 17 May 2024 - Insurers have called on the National Assembly to reject the proposal
- 17 May 2024 - A woman has moved to court seeking custody of a child she sired with a US-based Kenyan man.