Maelfu ya wafanyakazi katika Shirika la Misaada la Marekani (USAID) wataanza likizo kuanzia Ijumaa usiku
Taarifa ya USAID inasema agizo hilo litaathiri "wafanyakazi walioajiriwa" isipokuwa wale walio kwenye 'kazi na programu maalum zilizochaguliwa'.
Hii inafuatia msururumaagizo ya Rais Donald Trump kupunguza programu zinazofadhiliwa na serikali tangu alipoingia ofisini kama Rais wa Marekani.
Utawala wake umesema USAID inafuja pesa na inahitaji kuendana na vipaumbele vyake vya sera. Mustakabali wa shirika hili la Marekani upo mashakani.
Je ni kwanini Trump ameamua kulifunga shirika hili? Mariam Mjahid anaelezea
#bbcswahili #marekani #USAID
Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw
13 Mar 2025
- ODM party Secretary General Edwin Sifuna is among a host of African leaders of opposition parties who were on Thursday denied entry into Angola.
13 Mar 2025
- The Ethics and Anti-Corruption Commission (EACC) has launched a probe into allegations of bribery against Thika Law Courts Chief Magistrate Stellah Atambo.
13 Mar 2025
- KMPDU has congratulated Seme Member of Parliament Dr. James Nyikal on his election as the new Chairman of the National Assembly’s Departmental Committee on Health.
13 Mar 2025
- Former Nyandarua County Governor Daniel Waithaka has been convicted of procurement irregularities and failing to comply with procurement laws during his tenure as county boss.
13 Mar 2025
- President William Ruto on Thursday launched the construction of the Kibra Southlands Social Housing Project which is expected to address the housing shortage in Nairobi.
13 Mar 2025
- Pupils at Toi Primary School were Thursday treated to a meal of Chapati courtesy of President William Ruto and Nairobi Governor Johnson Sakaja during their development tour of the area.
13 Mar 2025
- The National Police Service (NPS) has launched investigations into the death of a foreign national who was knocked down by President William Ruto’s motorcade along Ngong Road on Thursday afternoon.