- 266 views
Hatua ya kuwashirikisha kina mama katika vita dhidi ya ugaidi katika kaunti ya Garissa imetajwa kama njia bora zaidi ya kupambana na tatizo la kiusalama kwa kutumia vikundi vyao. Wakizungumza wakati wa kuzindua mpango utakaotumika na kina mama kutoka kaunti ndogo ya Dadaab kukabiliana na kero ya ugaidi, wakuu wa usalama na vikundi vya kijamii wamesema kina mama wana uwezo wa kutambua vikundi vinavyosajili vijana kwenye mitandao ya ugaidi kwa urahisi kutokana na kuwepo kwao vijijini kila mara. Aidha, serikali kwa upande wake imehaidi kuunga mkono juhudi hizo za kina mama hao kuhakikisha kuwa hali ya usalama imerejea katika maeneo ya mipakani.
Kina mama washirikishwa katika vita dhidi ya ugaidi katika kaunti ya Garissa
- 13 Mar 2025 - ODM party Secretary General Edwin Sifuna is among a host of African leaders of opposition parties who were on Thursday denied entry into Angola.
- 13 Mar 2025 - The Ethics and Anti-Corruption Commission (EACC) has launched a probe into allegations of bribery against Thika Law Courts Chief Magistrate Stellah Atambo.
- 13 Mar 2025 - KMPDU has congratulated Seme Member of Parliament Dr. James Nyikal on his election as the new Chairman of the National Assembly’s Departmental Committee on Health.
- 13 Mar 2025 - Former Nyandarua County Governor Daniel Waithaka has been convicted of procurement irregularities and failing to comply with procurement laws during his tenure as county boss.
- 13 Mar 2025 - President William Ruto on Thursday launched the construction of the Kibra Southlands Social Housing Project which is expected to address the housing shortage in Nairobi.
- 13 Mar 2025 - Former Universities Fund CEO Geoffrey Monari has been appointed the new Higher Education Loans Board (HELB) boss.
- 13 Mar 2025 - Pupils at Toi Primary School were Thursday treated to a meal of Chapati courtesy of President William Ruto and Nairobi Governor Johnson Sakaja during their development tour of the area.
- » Gov't targets prisoners, border counties, students in ID registration drive for health insurance access- Gov't targets prisoners, border counties, students in ID registration drive for health insurance access
- 13 Mar 2025 - The National Police Service (NPS) has launched investigations into the death of a foreign national who was knocked down by President William Ruto’s motorcade along Ngong Road on Thursday afternoon.
- 13 Mar 2025 - DCI officers arrested the suspects on Thursday, March 13.