- 149 viewsMawaziri wa Mambo ya Nje wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) na Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) wamekutana Ijumaa Februari 07, 2025 jijini Dar es Salaam, Tanzania, kujadili hali ya usalama Mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC). Katika hotuba zao, viongozi wa mkutano huo wameeleza kuwa hali ya usalama Mashariki mwa DRC bado ni tete, huku mashambulizi ya makundi ya waasi kama M23 yakisababisha vifo vya raia na walinda amani, pamoja na kuzorotesha hali ya kibinadamu. Wameeleza kuwa wanawake, watoto na watu wenye ulemavu ndiyo waathirika wakubwa wa mgogoro huu. Mawaziri hao wametoa wito kwa pande zote zinazohusika katika mgogoro wa DRC kuheshimu sheria za kimataifa, kulinda wanadiplomasia na kuhakikisha misaada ya kibinadamu inawafikia wahitaji. Wameeleza kuwa njia pekee ya kuleta amani ya kudumu ni kupitia mazungumzo badala ya mapigano yasiyoisha. Ripoti ya mwandishi wa VOA, Amri Ramadhani #voaswahili #afrika #congo #drc #goma #m23 #sadc #eac #mawaziri #mamboyanje
Mawaziri wa Mambo ya Nje wa SADC na EAC wajadili hali ya usalama wa DRC
- 8 Feb 2025 - DCI detectives from the homicide investigations team are probing the murder of a patient inside a ward at the Kenyatta National Hospital (KNH).
- 8 Feb 2025 - A family in Nakuru is in distress following a disappearance of the body of their 7-month-old baby who passed on Monday this week.
- 7 Feb 2025 - A number of employees working under programs funded by the US government can breathe a sigh of relief after President Donald Trump’s administration announced a limited waiver of the 90-day “stop work order,” allowing the resumption of some critical life-…
- 7 Feb 2025 - Detectives from Lang'ata Police Station are investigating the brutal murder of Jackson Mukundi, a young man reportedly employed by Justine Mwithalii, who is now the main suspect in the killing.
- 7 Feb 2025 - Sixty-eight students from St. Thomas Aquinas Igumori Secondary School in Mbeere South, Embu County, are receiving treatment in various hospitals after consuming suspected contaminated cow head meat.
- 7 Feb 2025 - Key sites recaptured by the army this week include the mint – where money is printed.
- 7 Feb 2025 - A section of opposition leaders has supported the High Court's latest declaration that the Kenya Kwanza coalition is not the majority party in the National Assembly, citing that justice is finally served.
- 7 Feb 2025 - Royal Media Services Managing Director Wachira Waruru has mourned the late legendary broadcaster Leonard Mambo Mbotela who passed away on Friday morning.
- 7 Feb 2025 - Residents protested in Kutus town, bringing business to a stand still for hours
- 7 Feb 2025 - The White House confirmed on Friday that Elez resigned, though it did not specify why.