Tazama namna ambavyo wanaume hawa walivyomvamia na kumshambulia mshukiwa anayetuhumwa kumuua ndugu yao ndani ya mahakama huko New Mexico wakati wa kusikilizwa kwa kesi hiyo ya mauaji.
Mlinzi wa mahamani hapo aliingilia kati lakini pia alishambuliwa.
Wanaume hao wawili, Carlos Lucero na Pete Ysasi, walikamatwa na kufunguliwa mashtaka ya kumpiga afisa wa usalama na kushambulia mbele ya mahakama.
#bbcswahili #newmexico #mahakama
Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw
12 Mar 2025
- Spain's government approved a bill on Tuesday imposing massive fines on companies that use content generated by artificial intelligence (AI) without properly labelling it as such, in a bid to curb the use of so-called "deepfakes".
12 Mar 2025
- Former Philippine President Rodrigo Duterte was arrested and taken into custody on Tuesday in Manila on an International Criminal Court warrant for the "war on drugs" that defined his term in office and which killed thousands of Filipinos.