- 104 views
Serikali imeibua wasiwasi kuhusiana na idadi kubwa ya wakenya wanaojihusisha katika uraibu wa vileo na matumizi ya mihadarati baada ya kupata ajira ughaibuni. Waziri wa leba Dr. Alfred Mutua aliyayasema hayo wakati wa uzinduzi wa mpango wa hivi maajuzi wa Kazi Majuu jijini Nairobi ambapo zaidi ya wakenya elfu sita wasio na ajira watanufaika akisema kuwa usaili wa kina utatekelezwa ili kuhakikisha kwamba ni watu walio na ujuzi na wasio na uraibu wa pombe wanapata nafasi hizo.
Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKN Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#kbcchannel1 #news #kbclive
Serikali yazindua mpango wa “Kazi Majuu”, wakenya elfu-6 kunufaika
- - BBC News Swahili ››
- - Duniani Leo ››
- 6 Mar 2025 - Global efforts have expanded legal protections, services, and inclusion, but challenges persist in leadership, healthcare, and economic empowerment.
- 6 Mar 2025 - Critical life-saving programmes, police missions in Haiti will still get funding
- 6 Mar 2025 - The clashes, sparked by alleged cattle theft, broke out early on Saturday, escalating into violent confrontations.
- 6 Mar 2025 - Betting firms, retirement benefit schemes, accountants, estate agents targeted
- 6 Mar 2025 - Mukurweini MP John Kaguchia has been removed from the Justice and Legal Affairs Committee to the Broadcasting Committee.
- 6 Mar 2025 - Protesters were demanding action against those behind the shooting of the Form 3 student on Tuesday night.
- 6 Mar 2025 - The real gossip circulating now is that he is planning to make her his second wife.
- » ‘Those women are our last line of defence’: Onyonka heaps praise on Controller of Budget, Auditor General6 Mar 2025 - Kisii Senator Richard Onyonka has come out in defence of embattled Controller of Budget Margaret Nyakang'o and the Auditor General Nancy Gathungu.
- 6 Mar 2025 - Kenya’s tennis scene continues to grapple with financial challenges, yet amid these struggles, young talents like Ashley Wafula are rising, determined to make a name for themselves. Fresh from competing in the 2025 ITF Africa Junior Championship, the…
- 6 Mar 2025 - President William Ruto's senior economic advisor, Moses Kuria, has addressed ongoing concerns regarding the ownership and security of data under the Social Health Authority (SHA).