- 5,623 views
Wandani wa rais mstaafu Uhuru Kenyatta sasa wamo serikalini. Katika mageuzi ya baraza la mawaziri yaliyotangazwa jioni hii ni kwamba mutahi kagwe ameteuliwa katika wizara ya kilimo huku aliyekuwa gavana wa kiambu william kabogo akiteuliwa kuwakilisha wizara ya teknolojia na mawasiliano. lee kinyanjui ameteuliwa katika wizara ya biashara, uwekezaji na viwanda.wengine walioteuliwa ni pamoja na margaret nyambura ambaye ameteuliwa kuwa balozi wa ghana, aliyekuwa waziri wa michezo wakati wa uhuru ababu namwamba ameteuliwa kama mwakilishi wa kenya- unep, balozi dorothy angote ameteuliwa kuwa balozi wa zimbabwe huku dkt. andrew karanja akiteuliwa kama balozi wa brazil. salim mvurya ameteuliwa katika wizara ya michezo na vijana huku kipchumba murkomen aking'olewa kwenye wizara ya michezo na kuteuliwa katika wizara ya usalama wa ndani. ndiritu muriithi ameteuliwa kama mwenyekiti, bodi ya kra, anthony mwaura mwenyekiti, bodi ya kerra na kembi gitura - mwenyekiti, bodi ya hospitali ya k.u. mabadiliko haya yanajiri siku chache baada ya rais william ruto kukutana na rais mstaafu uhuru kenyatta.
Subscribe to NTV Kenya channel for latest Kenyan news today and everyday. Get the Kenya news updates, discussions and other exciting shows.
Website: ntv.nation.co.ke || Paper: Daily Nation || Twitter: @ntvkenya || Facebook: NTV Kenya || Instagram: NTV Kenya
Wandani wa Rais Uhuru waingia serikalini katika mageuzi ya baraza la mawaziri
- - Raila - Ruto deal ››
- - ndiritu 6 ››
- 11 Mar 2025 - The incident, which has shocked the local community, is said to have been triggered by the uncle’s persistent disruptive behavior, particularly when he returned home drunk.
- 11 Mar 2025 - But Mushila is more than just a man dressed strangely—he is a professional prankster who specializes in giving people the scare of their lives, often leaving them running in terror.
- 11 Mar 2025 - Speaking to thousands of overseas Filipino workers there on Sunday, the former president decried the investigation, labelling ICC investigators "sons of whores" while saying he would "accept it" if an arrest were to be his fate.
- 11 Mar 2025 - Deputy Inspector General of the Administration Police Service, Gilbert Masengeli, led a group of officers to receive the fallen officer's remains.
- 11 Mar 2025 - Nigeria has agreed to a $200 million (Ksh.25.8B) deal with WeLight, a pan-African Distributed Renewable Energy (DRE) company to deploy hundreds of renewable mini grids, aimed at bringing reliable electricity to millions in rural communities and those…
- 11 Mar 2025 - Officials from the party of Democratic Republic of Congo's former President Joseph Kabila appeared before a military prosecutor on Monday in a sign of political tensions over advances by Rwanda-backed rebels in the east.
- 11 Mar 2025 - More than a year's worth of rain fell in a matter of hours Friday, inundating entire neighborhoods of the port city about an eight-hour drive south from Buenos Aires.
- 11 Mar 2025 - A bus turned over along a highway in southern Mexico's Oaxaca state, killing 18 people, the state government said in a statement. Twelve others remained in hospital.
- 11 Mar 2025 - Its president, Recep Tayyip Erdogan, has thrown his support behind Zelensky's call for an aerial and naval truce.
- 11 Mar 2025 - Kaetuai was killed by armed gangs while on duty in Haiti. The Multinational Security Support Mission confirmed his death in late February, stating that he succumbed to injuries sustained during an operation. The National Police Service later reported…