- 5,623 views
Wandani wa rais mstaafu Uhuru Kenyatta sasa wamo serikalini. Katika mageuzi ya baraza la mawaziri yaliyotangazwa jioni hii ni kwamba mutahi kagwe ameteuliwa katika wizara ya kilimo huku aliyekuwa gavana wa kiambu william kabogo akiteuliwa kuwakilisha wizara ya teknolojia na mawasiliano. lee kinyanjui ameteuliwa katika wizara ya biashara, uwekezaji na viwanda.wengine walioteuliwa ni pamoja na margaret nyambura ambaye ameteuliwa kuwa balozi wa ghana, aliyekuwa waziri wa michezo wakati wa uhuru ababu namwamba ameteuliwa kama mwakilishi wa kenya- unep, balozi dorothy angote ameteuliwa kuwa balozi wa zimbabwe huku dkt. andrew karanja akiteuliwa kama balozi wa brazil. salim mvurya ameteuliwa katika wizara ya michezo na vijana huku kipchumba murkomen aking'olewa kwenye wizara ya michezo na kuteuliwa katika wizara ya usalama wa ndani. ndiritu muriithi ameteuliwa kama mwenyekiti, bodi ya kra, anthony mwaura mwenyekiti, bodi ya kerra na kembi gitura - mwenyekiti, bodi ya hospitali ya k.u. mabadiliko haya yanajiri siku chache baada ya rais william ruto kukutana na rais mstaafu uhuru kenyatta.
Subscribe to NTV Kenya channel for latest Kenyan news today and everyday. Get the Kenya news updates, discussions and other exciting shows.
Website: ntv.nation.co.ke || Paper: Daily Nation || Twitter: @ntvkenya || Facebook: NTV Kenya || Instagram: NTV Kenya
Wandani wa Rais Uhuru waingia serikalini katika mageuzi ya baraza la mawaziri
- 20 Dec 2024 - Deputy President Prof. Kithure Kindiki has remained coy on whether he would pursue Kenya's presidency in 2027, should President William Ruto abandon his ambitions to retain the seat in the upcoming polls.
- 20 Dec 2024 - Deputy President Prof. Kithure Kindiki has now seemingly distanced himself from talks on who the reigning kingpin of Mt. Kenya region politics actually is.
- 20 Dec 2024 - The United Nations Internet Governance Forum (IGF) concluded on Thursday evening, with calls for inclusivity and accountability in the digital ecosystem.
- 19 Dec 2024 - Deputy President Prof. Kithure Kindiki has clarified that there is no bad blood between him and his predecessor, Rigathi Gachagua.
- 19 Dec 2024 - DP Kithure Kindiki on Thursday evening oversaw the signing of an agreement between doctors and the Ministry of Health that will now see the nationwide strike initially set for December 22, 2024 effectively called off.
- » 'I have no reason to take responsibility,' DP Kindiki says on killing of protestors during anti-gov't demos19 Dec 2024 - Deputy President Prof. Kithure Kindiki has denied responsibility for the deaths of approximately 60 Kenyan protestors who lost their lives during the anti-government demonstrations that began in mid-July, a period where the DP was serving as the Cabinet…
- 19 Dec 2024 - President William Ruto on Thursday made fresh appointments to State corporations as well as Kenya’s foreign missions abroad.
- 19 Dec 2024 - President William Ruto nominated made new nominations to his Cabinet, in a move set to see former politicians make a comeback to government.
- 19 Dec 2024 - President William Ruto has reassigned Sports Cabinet Secretary Kipchumba Murkomen to be in charge of the Interior Ministry which was left vacant following the appointment of Kithure Kindiki as Deputy President.
- 19 Dec 2024 - Yemen's Huthi rebels claimed a missile attack Thursday against Israel, which said it intercepted the threat and struck back before warning the Iran-backed movement it would "pay a heavy price".