- 142 views
Gavana wa benki kuu ya Kenya Dkt. Kamau Thugge amesema tangazo lilitolewa na rais wa Marekani Donald Trump la kuongeza uzalishaji na uuzaji ng'ambo wa mafuta ghafi, utasaidia kupunguza bei ya mafuta, hali ambayo itasaidia kupunguza kiwango cha mfumuko wa bei humu nchini. Dkt. Thugge amesema ongezeko la uzalishaji wa mafuta ghafi nchini Marekani huenda likachangia kupungua kwa bei ya mafuta kote duniani, hivyo basi kupunguza bei ya mafuta hapa nchini. Taarifa kamili ni kwenye mseto habari za uchumi na biashara.
Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKN Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#kbcchannel1 #news #kbclive
Biashara I Kenya yapongeza nia ya Marekani ya kuuza mafuta ghafi
- 13 Mar 2025 - Former Universities Fund CEO Geoffrey Monari has been appointed the new Higher Education Loans Board (HELB) boss.
- 13 Mar 2025 - Pupils at Toi Primary School were Thursday treated to a meal of Chapati courtesy of President William Ruto and Nairobi Governor Johnson Sakaja during their development tour of the area.
- 13 Mar 2025 - The National Police Service (NPS) has launched investigations into the death of a foreign national who was knocked down by President William Ruto’s motorcade along Ngong Road on Thursday afternoon.
- 13 Mar 2025 - President William Ruto has now declared that all Kenyans be issued with national Identity (ID) cards at no cost.
- 13 Mar 2025 - More than 10 business premises were reduced to ashes after a fierce fire broke out at the Limuru Town bus park in Kiambu County on Thursday morning.
- 13 Mar 2025 - The money was wired from Canada and was meant to finance church activities.
- 13 Mar 2025 - The Bungoma County government will hand over the Sang’alo-Kanduyi dual carriage road to KeNHA for maintenance once all pending bills are settled, Governor Kenneth Lusaka has confirmed.
- 13 Mar 2025 - The national government is now seeking a further Ksh.2.5 billion to support the peace keeping mission in Haiti.
- 13 Mar 2025 - Also blocked are former Botswana President Ian Khama and his Colombian counterpart Andrés Arango.
- 13 Mar 2025 - Agriculture CS Mutahi Kagwe has announced that the ministry plans to introduce an agricultural police unit to safeguard the tea sector.