Ivory Coast Yaibuka Kidedea Fainali ya AFCON 2023
Sebastien Haller alifunga bao la ushindi dakika tisa kabla ya mchezo kumalizika wenyeji Ivory Coast wakinyakua taji la tatu la Kombe la Mataifa ya Afrika kwa ushindi wa 2-1 dhidi ya Nigeria kwenye mchezo wa fainali Uwanja wa Alassane Ouattara mjini Abidjan Jumapili (Februari 11).
Ni ushindi ambao haungetarajiwa na wengi siku chache zizlizopita hasa kutokana na kwamba timu hiyo ilipata vipigo viwili katika katika awamu ya makundi, kikiwemo kile cha mabao 4-0 kutoka kwa Equatorial Guinea, kabla ya kujizatiti katika raundi ya mchujo.
Bao la kichwa la William Troost-Ekong liliiwezesha Nigeria kuongoza kipindi cha kwanza lakini mchezaji machachari wa Ivory Coast, Franck Kessie alisawazisha.
Wenyeji Ivory Coast walilazimika kutoka nyuma mara kadhaa kwenye dimba hilo na walifanya hivyo tena wakati Haller alipoelekeza krosi ya Simon Adingra wavuni, jambo lililomfurahisha sana kocha wake Emerse Fae, ambaye alianza mchuano huo kama msaidizi wa Mfaransa Jean-Louis Gasset aliyetimuliwa.
Mafanikio ya Ivory Coast yanawafanya kuongeza taji la mwaka huu kwa mengine waliyoyapata mwaka wa 1992 na 2015, wakati ushindi huu pia unawaruhusu kuungana na Nigeria kwa ushindi wa tatu wa Kombe la Mataifa kwa jumla.
Ni Misri, Cameroon na Ghana pekee ambazo zimeshinda taji hilo mara nyingi zaidi.
Ivory Coast imekuwa nchi mwenyeji wa kwanza kushinda AFCON tangu 2006.
- Reuters
#afcon #totalenergiesafcon2023 #soccer #football #africa #news #voaafrica
5 Feb 2025
- The musician is on the spot for the lyrics of her popular song.
5 Feb 2025
- Mijungu has been a headliner for KTN News, coming toe to toe with the likes of Miguna Miguna on his show.
5 Feb 2025
- It remains unclear how the decision will affect the movement of meat in the country.
5 Feb 2025
- As the world mourns the spiritual leader of Ismaili Muslims and businessman His Highness the Aga Khan IV, the Kenyan media space has similarly felt a weighty dent.
5 Feb 2025
- Former President Uhuru Kenyatta has mourned His Highness the Aga Khan, remembering him as a close friend and confidant, a visionary leader and a philanthropist.
5 Feb 2025
- Niwax Solutions Limited Director Michelle Wanjiru Ngaruiya has been charged with seven counts of tax fraud.
5 Feb 2025
- DCI detectives have arrested two Kenyans for allegedly housing 58 illegal Ethiopian immigrants destined for South Africa at a house in Kitengela, Kajiado County.
5 Feb 2025
- President William Ruto has commissioned the Shuublow electrification project in Wajir East constituency, Wajir County.
5 Feb 2025
- President William Ruto has commissioned the Shuublow electrification project in Wajir East constituency, Wajir County.
5 Feb 2025
- The musician is on the spot for the lyrics of her popular song.
5 Feb 2025
- Lands CS cites numerous challenges, including court cases and delays in funds disbursement.
5 Feb 2025
- Government Spokesperson Isaac Mwaura on Wednesday said the operations of the Kenya-led multinational security support mission in Haiti won’t be jeopardised after the United States froze its financial contributions to the force’s United Nations fund.
5 Feb 2025
- Doctors at Moi Teaching and Referral Hospital (MTRH) in Eldoret have commenced industrial action after failure by the management to address their grievances that were not implemented in the Collective Bargaining Agreement (CBA).