- 26 views
Wadau mbalimbali wakiwemo wale wa idara ya polisi, mashirika ya jamii na watetezi wa haki za wanyama wametoa wito wa kupiga marufuku uuzaji,ununuzi na usafirishaji wa nyama ya punda ili kuwanusuru wanyama hapo walio katika hatari ya kuangamia. Akiongea mjini Kithyoko kwenye mpaka kati ya kaunti za Machakos na Kitui baada ya mkutano wa kutathmini usalama wa punda, wadau hao walilalamikia ongezeko la visa vya punda wanaochinjwa na nyama yao kuuzwa bila idhini .Uchinjaji wa mnyama huyo unasemekana kutekelezwa misituni na nyama hiyo kuuzwa katika kaunti za Kitui , Embu na Machakos .Pia wametoa wito wa uhamasisho kwenye jamii kuhusu umuhimu wa mnyama huyo hususan katika maeneo kame .
Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKN Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#kbcchannel1 #news #kbclive
Mauzo ya nyama ya punda yaongezeka Embu, Kitui, Machakos
- 24 Feb 2025 - Detectives have confirmed that the body found dumped in Makongo forest along the Machakos-Wote road in Makueni County over the weekend belongs to Campbell Scott, the British national who went missing last week in Nairobi.
- 24 Feb 2025 - Jarod Tyler Roberts was arraigned before the Jomo Kenyatta International Airport (JKIA) Law Courts on Monday, where he pleaded not guilty to trafficking cocaine valued at Ksh.240,000.
- 24 Feb 2025 - Njoroge Mwaura became a household name in Kenya for his eloquent news presentation and reporting on major political and socio-economic stories, and was highly regarded in the media fraternity.
- 24 Feb 2025 - In a dramatic escalation of the conflict, the utility company criticized the county's actions, which included officials clamping company vehicles, blocking entrances, and dumping trash at its Stima Plaza headquarters.
- 24 Feb 2025 - The standoff also involves unpaid electricity bills owed by the county to KPLC, further complicating the already tense relationship between the two entities.
- 24 Feb 2025 - A three-judge bench on Monday issued conservatory orders halting proceedings of a High Court bench in former deputy president Rigathi Gachagua's impeachment petition.
- 24 Feb 2025 - DCJ Mwilu, Justices Ibrahim, Lenaola and Ouko secure orders against JSC.
- 24 Feb 2025 - The legislator proposed an amendment to the Teachers Service Commission (TSC) Act, 2012.
- 24 Feb 2025 - Violence raging in the eastern Democratic Republic of Congo has killed "more than 7,000 compatriots", many of them civilians, since last month, the Congolese premier said Monday.
- 24 Feb 2025 - They join CJ Koome and Judge Ndung'u who obtained similar orders last week.