Jumuiya ya nchi za kusini mwa Afrika (SADC) na Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) zitaandaa mkutano wa pamoja Ijumaa na Jumamosi wiki hii kuzungumzia mzozo wa mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasi ya Congo. Mkutano huo utafanyika mjini Dar es Salaam, Tanzania, taifa ambalo ni mwanachama wa jumuiya zote mbili - SADC na EAC. Hatua hii inafuatia makubaliano kati ya mwenyekiti wa SADC Rais Emmerson Mnangagwa wa Zimbabwe, pamoja na mwenyekiti wa EAC Rais William Ruto wa Kenya. Taarifa kutoka Ikulu ya Nairobi inasema kwamba Rais Felix Tshisekedi wa DRC na Rais Paul Kagame wa Rwanda wamethibitisha kushiriki mkutano huo, pamoja na Rais Cyril Ramaphosa wa Afrika Kusini, Rais Yoweri Museveni wa Uganda na Rais Hassan Sheikh Mohamud wa Somalia.
13 Mar 2025
- KMPDU has congratulated Seme Member of Parliament Dr. James Nyikal on his election as the new Chairman of the National Assembly’s Departmental Committee on Health.
13 Mar 2025
- Former Nyandarua County Governor Daniel Waithaka has been convicted of procurement irregularities and failing to comply with procurement laws during his tenure as county boss.
13 Mar 2025
- Pupils at Toi Primary School were Thursday treated to a meal of Chapati courtesy of President William Ruto and Nairobi Governor Johnson Sakaja during their development tour of the area.
13 Mar 2025
- The National Police Service (NPS) has launched investigations into the death of a foreign national who was knocked down by President William Ruto’s motorcade along Ngong Road on Thursday afternoon.
13 Mar 2025
- More than 10 business premises were reduced to ashes after a fierce fire broke out at the Limuru Town bus park in Kiambu County on Thursday morning.