SADC na EAC kukutana kuhusu vita vya Goma, DRC
Jumuiya ya nchi za kusini mwa Afrika (SADC) na Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) zitaandaa mkutano wa pamoja Ijumaa na Jumamosi wiki hii kuzungumzia mzozo wa mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasi ya Congo. Mkutano huo utafanyika mjini Dar es Salaam, Tanzania, taifa ambalo ni mwanachama wa jumuiya zote mbili - SADC na EAC. Hatua hii inafuatia makubaliano kati ya mwenyekiti wa SADC Rais Emmerson Mnangagwa wa Zimbabwe, pamoja na mwenyekiti wa EAC Rais William Ruto wa Kenya. Taarifa kutoka Ikulu ya Nairobi inasema kwamba Rais Felix Tshisekedi wa DRC na Rais Paul Kagame wa Rwanda wamethibitisha kushiriki mkutano huo, pamoja na Rais Cyril Ramaphosa wa Afrika Kusini, Rais Yoweri Museveni wa Uganda na Rais Hassan Sheikh Mohamud wa Somalia.
5 Feb 2025
- This comes just two weeks after the Cabinet approved the merging of 42 state corporations into 20 entities.
5 Feb 2025
- The latest announcement follows the ongoing registration of the 2025 KCSE cohort.
5 Feb 2025
- The truck driver witnessed first hand the escalating war between M23 rebels and DRC military groups.
5 Feb 2025
- A decision by United States president Donald Trump to cut foreign aid funding has left Kenya at risk of lacking financial ability to run crucial health programmes.
5 Feb 2025
- Dias Jumba Wabwire allegedly raped a patient undergoing dialysis at the facility on January 31, 2025.
5 Feb 2025
- The official responsible for playing the wrong national anthem during Kenya’s match at the FIBA Women’s AfroBasket 2025 Qualifiers has been fired.
5 Feb 2025
- Trump plans to effectively dismantle the agency as an independent entity.
5 Feb 2025
- This comes just two weeks after the Cabinet approved the merging of 42 state corporations into 20 entities.
5 Feb 2025
- "Engaging effectively here means opening doors for Kenya’s growth and attracting investments"
5 Feb 2025
- EACC spokesperson Eric Ngumbi confirmed that KA’galo was apprehended on Tuesday at his rural home in Oyugis.
5 Feb 2025
- Mining CS Hassan Joho said the containers were set for export to China.
5 Feb 2025
- Harambee Starlets head coach Beldine Odemba has named a 36-player provisional squad for the upcoming two-legged 2026 WAFCON qualifiers against Tunisia.
5 Feb 2025
- The latest announcement follows the ongoing registration of the 2025 KCSE cohort.