- 4,243 views
Baadhi ya wakaazi wa kaunti ya Murang'a wamemsuta vikali mwakilishi wa wanawake Betty maina kwa madai ya kuanzisha cheche za maneno dhidi ya naibu rais Rigathi Gachagua . Wakaazi hao wamemshtumu vikali Maina kwa kupanga njama ya uchokozi kwa naibu rais hatua ambayo wanasema itazuiliwa kwa njia zote ,huku wakidai kua Maina anashawishiwa na wahusika wengine wa kisiasa kuchafua jina la Gachagua mlimani. Isitoshe mbunge huyo amejiingiza katika vita na naibu rais vya kuonyesha nani mbabe katika uongozi wa sasa huku wakitazamia uchaguzi wa mwaka 2027. Jambo hili limejiri wakati ambapo Gachagua anazidi kupoteza uungwaji mkono kutoka kwa wabungemhaswa wa mlimani ingawa wenyeji wa mlima wanasema wanamuunga mkono
Subscribe to NTV Kenya channel for latest Kenyan news today and everyday. Get the Kenya news updates, discussions and other exciting shows.
Website: ntv.nation.co.ke || Paper: Daily Nation || Twitter: @ntvkenya || Facebook: NTV Kenya || Instagram: NTV Kenya
Wakaazi wa Murang'a wamsuta vikali Betty maina kuanzisha cheche za maneno na naibu rais Gachagua
- - PART 1 ››
- 13 Mar 2025 - KMPDU has congratulated Seme Member of Parliament Dr. James Nyikal on his election as the new Chairman of the National Assembly’s Departmental Committee on Health.
- 13 Mar 2025 - Former Nyandarua County Governor Daniel Waithaka has been convicted of procurement irregularities and failing to comply with procurement laws during his tenure as county boss.
- 13 Mar 2025 - Former Universities Fund CEO Geoffrey Monari has been appointed the new Higher Education Loans Board (HELB) boss.
- 13 Mar 2025 - Pupils at Toi Primary School were Thursday treated to a meal of Chapati courtesy of President William Ruto and Nairobi Governor Johnson Sakaja during their development tour of the area.
- » Gov't targets prisoners, border counties, students in ID registration drive for health insurance access- Gov't targets prisoners, border counties, students in ID registration drive for health insurance access
- 13 Mar 2025 - The National Police Service (NPS) has launched investigations into the death of a foreign national who was knocked down by President William Ruto’s motorcade along Ngong Road on Thursday afternoon.
- 13 Mar 2025 - DCI officers arrested the suspects on Thursday, March 13.
- 13 Mar 2025 - President William Ruto has now declared that all Kenyans be issued with national Identity (ID) cards at no cost.
- - President Ruto breaks ground for Kibra Southlands Social Housing Project
- 13 Mar 2025 - More than 10 business premises were reduced to ashes after a fierce fire broke out at the Limuru Town bus park in Kiambu County on Thursday morning.