- 131 views
Juhudi za serikali kupitia wizara ya elimu kulenga kujenga maabara ya kubuniwa mitandaoni yaani virtual katika shule za sekondari zimepata pigo baada ya wadau katika sekta ya elimu kupinga mfumo huo. Waliopinga wamesema mfumo huo utachangia ubaguzi wa shule na wanafunzi ikizingatiwa kwamba shule nyingi nchini hazij wekeza katika maswala ya teknolojia. Wadau hao hata hivyo wameshinikiza kuimarishwa kwa elimu ya gredi ya 10 sawia na serikali kutoa mgao wa fedha kwa shule kwa wakati unaofaa .
Mpango wa maabara za kidijitali shuleni kupingwa na wadau wa elimu
- 21 Apr 2025 - President William Ruto will visit Beijing and meet with President Xi Jinping as reciprocal trade tariffs between America and Beijing deepen, and shockwaves in the aftermath of the tariffs rip through the global markets.
- 21 Apr 2025 - Activist Boniface Mwangi says he was violently assaulted and robbed by police officers in Nairobi earlier this month.
- 21 Apr 2025 - Police in Kabarnet, Baringo County, on Monday found the body of a boda boda rider who had been missing since Thursday.
- 21 Apr 2025 - Some cardinals who are being talked about as "papabili" to succeed Pope Francis, whose death at the age of 88 was announced by the Vatican on Monday.
- 21 Apr 2025 - The Vatican, headquarters of the Catholic Church, is the smallest state in the world, with its own newspaper, national anthem in Latin and supreme leader -- the pope.
- 21 Apr 2025 - President William Ruto will jet out of the country for his highly anticipated state visit to China on Monday night, April 21, 2025. In a statement by State House Spokesperson Hussein Mohamed, the head of state is expected to use the visit to the Asian…
- 21 Apr 2025 - President William Ruto will depart the country Monday evening for a State Visit to the People’s Republic of China.
- 21 Apr 2025 - President Ruto hopes to achieve several key economic milestones from his China trip.
- 21 Apr 2025 - African leaders praised the "legacy of compassion" and "commitment to inclusivity" of Pope Francis as they joined global mourning over his death on Monday.
- 21 Apr 2025 - Each of the 266 Popes steered the course of history in Vatican in their unique way.