Tabasamu kwa wale wote walioathirika na mbolea feki ya bei nafuu.
Baada ya vilio na lalama kutoka kwa wakulima mbalimbali kupewa mbolea feki ya bei nafuu, sasa seriikali mejitokeza tayari kuwafidia wakulima walioathirika na mbolea hiyo waliyopokea kupitia maghala ya halmashauri ya nafaka na mazao nchini NCPB.
Akihutubia wanahabari katika makao makuu ya wizara ya kilimo baada ya kuwa na mkutano na viongozi wa vitengo husika katika sekta hiyo kama vile NCPB, kephis na KEBS, katibu katika wizara ya kilimo Dkt Paul Ronoh alisema kuwa wizara imeamrisha halmashauri ya NCPB kuwapatia wakulima walioathirika mbolea nyingine mbadala ya kupanda kwa wale ambao hawajapanda na kuwapa mbolea ya kunyunyizia kwa wale ambao tayari wameshapanda.
2 Apr 2025
- Kenya has been actively involved in diplomatic interventions to help bring stability to the region
2 Apr 2025
- The accident resulted in a huge traffic snarl-up along the highway.
2 Apr 2025
- The country is expected to receive enhanced rainfall in April.
2 Apr 2025
- Recent clashes between forces loyal to President Salva Kiir and First Vice President Riek Machar have raised fears that South Sudan is on the brink of renewed war.
2 Apr 2025
- Laurinius Odinga, the OCPD of Nyakach, confirmed that three other students were seriously injured while six others sustained minor injuries.
2 Apr 2025
- Niger's junta said Tuesday it had freed around 50 people, including ministers from the government it toppled in July 2023, in line with recommendations of a "national conference" in February.
2 Apr 2025
- A section of Machakos Members of County Assembly (MCAs) have vowed not torelent or be cowed by their move to impeach Assembly Speaker Ann Kiusya.
2 Apr 2025
- A Democratic US lawmaker shattered a record for the longest speech in Senate history Tuesday, staying on his feet for more than 25 hours to deliver a fiery protest against President Donald Trump's "unconstitutional" actions.
2 Apr 2025
- A video of Samuel da Silva dos Santos holding the baby girl found in a box on a street strewn with trash went viral on social media, sparking a mixture of joy and indignation in the Brazilian seaside city.
2 Apr 2025
- President William Ruto continues his development tour of the Mt. Kenya region. Today, Wednesday, he will visit Meru and Kirinyaga counties to launch, inspect, and commission various development projects. The Head of State embarked on his weeklong tour on…
2 Apr 2025
- Health officials and police have scrambled to explain the mix-up, which has appalled political leaders and stoked outrage across the country.
2 Apr 2025
- US diplomats, civil servants assigned to USAID to be fired.
2 Apr 2025
- Economists warn the tariffs could raise prices and slow economic growth.